Skip to search.
uislamu

Group Information

  • Members: 64
  • Category: Islam
  • Founded: May 16, 2005
  • Language: English
? Already a member? Sign in to Yahoo!

Yahoo! Groups Tips

Did you know...
Real people. Real stories. See how Yahoo! Groups impacts members worldwide.

Messages

  Messages Help
Advanced
Messages 8 - 38 of 173   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Messages: Simplify | Expand   (Group by Topic) Author Sort by Date ^
8 abubakarimwinyi
abubakarimwinyi@... Send Email
Aug 18, 2005
6:15 am
NI UPI MTAZAMO WA SHERIA KWA WANANDOA KUTUMIA KONDOMU KWA KUZUIA UJAUZITO?...
9 rvarisanga
rvarisanga@... Send Email
Aug 18, 2005
6:15 am
Asalaam aleikum, Kulikuwepo na masomo ya kiarabu kwenye Tovuti hii lakini sasa haionekani. Naomba masomo hayo yarudishwe kama inawezekana. Maana mwanzo kabla...
10 RAJABU RASHID NMOBAH
mobah1980 Offline Send Email
Aug 18, 2005
8:29 am
Assalam alaikum! Swali hilo ni la muhimu sana kwa waumini wa Kiislamu wote kwa jumula.Kama mafunzo hyo kweli vinawezekana yakarudishwa , tuombe Allh awawezeshe...
11 RAJABU RASHID NMOBAH
mobah1980 Offline Send Email
Aug 18, 2005
8:40 am
Assalam alaikum! Huyu Mwinyi ameuliza swali hata na mimi ningeuliza wenye elimu ya juu ya kiislamu.Kama kuna Macheikh ambao wanaweza kutoa ufumbuzi wa swali...
12 uislamu Offline Send Email Aug 18, 2005
8:49 am
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Kutumia kondom kwa kuzuia uja uzito inajuzu, bali kila njia ambayo ni temporary (ya muda) na si permanent inaruhusiwa. Kwa...
13 uislamu Offline Send Email Aug 19, 2005
6:22 am
SWALI: Ni zipi fadhila za swala za usiku? JIBU: Zimekuja nukuu nyingi katika Qur-ani Tukufu na Sunah zikitaja fadhila/ubora wa swala za usiku. Katika jumla ya...
14 AMOUR MASOUD AL-MAZRUI
aalmazrui Offline Send Email
Aug 23, 2005
5:32 am
Asalamu alaykum Ndugu yangu naomba nikujibu swali lako hata hivyo nimechlewa sana lakini utanisamehe. Kuhusu mipira hakuna uthibitisho juu ya kuzuiya kikweli...
15 uislamu Offline Send Email Aug 23, 2005
7:36 am
SWALI: Siwezi kukutana na niwapendao katika maisha ya ulimwengu huu, basi je ninaweza kukutana nao akhera? JIBU: Kwa yakini mtu atakuwa pamoja na ampendaye....
16 RAJABU RASHID NMOBAH
mobah1980 Offline Send Email
Aug 24, 2005
5:24 am
Assalam alaikum! Asdante sana kwa jibu mnazotupa na ninadhani ni lazima tufanikiwe huku ulimwenguni na hapo akhera.Swali langu linahusu hizi madawa za kuzuia...
17 uislamu Offline Send Email Aug 24, 2005
7:51 am
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Kuhusu masuala ya kuzuia mimba tafadhali angalieni makala yafuatayo kwenye website ya uislamu : ...
18 uislamu Offline Send Email Sep 9, 2005
8:44 am
SWALI: Je, ni kweli kuwa mwanamke aliye toa mimba haruhusiwi kuswali ila baada ya siku arobaini kama ilivyo kwa aliye katika nifasi? Na je, katika hali hiyo...
19 Jasmin Awadh
jasminawadh Offline Send Email
Sep 9, 2005
11:11 am
Swali: Ikiwa mimi ni mwanamke na nikapata hedhi ambayo si damu hasa yaani inakuwa na rangi ya kahawia kidogo, hasa siku ya kwanza na ikatoka kidogo tu na...
20 uislamu Offline Send Email Sep 21, 2005
8:37 am
Assalaam Alaykum! Lifuatalo ndilo jibu la swali lako kwa kiwango chetu cha elimu na taufiq yake Taala: "Damu ya hedhi kisheria utokaji wake una mida mitatu:...
21 RAJABU RASHID NMOBAH
mobah1980 Offline Send Email
Sep 22, 2005
6:54 am
Mimi nina swali kuhusu kujitandia kichwani kwa wanawake kwani siku hizi kuna watu wanapuuzia swali hilo. Hivi ni haramu kutojitandia, na kama ni Haramu hivi...
22 AMOUR MASOUD AL-MAZRUI
aalmazrui Offline Send Email
Sep 22, 2005
8:18 am
Assalamu alaikum kuhusu kujitanda kutokana na mapokezi kutoka kwa Mtume SAW amelaaniwa mwanamke mwenye kuvaa nusu uchi yaani hata huyo asiejitanda kwa maana...
23 RAJABU RASHID NMOBAH
mobah1980 Offline Send Email
Sep 23, 2005
7:03 am
Ndugu Zangu, Assalam alaikum! Mimi ni muislam na familia yangu yote sio waislamu.Na hapo namanisha wazazi, kaka zangu na dada zangu.Na hivi karibuni Mama Mzazi...
24 AMOUR MASOUD AL-MAZRUI
aalmazrui Offline Send Email
Sep 26, 2005
5:59 am
Waaleykum salam Kwanza pole sana kwa msiba huo mzito wa kutokwa na kiungo muhimu mama. Ndugu yangu kwavile mama yako mzazi hakuwa muislam basi huna nafasi...
25 uislamu Offline Send Email Sep 26, 2005
7:20 am
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Kwanza hakuna dhambi kwa kutomzika mama yako hasa kwamba ulikuwa mbali na ilikuwa nje ya uwezo wake, ungepata dhambi kama tu...
27 sameja Offline Send Email Oct 4, 2005
1:40 pm
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Ndugu Waislamu, Ramadhani imetukabili kwa kila kheri, ikitupa ishara tuache maasi na tujikurubishe kwa Mwenyezi Mungu, na pia...
28 sembuli_ali Offline Send Email Oct 7, 2005
8:15 am
NAOMBA UFAFANUZI WA SWALA LA UVAAJI WA NIKABU KWANI MTUME ALIAMRISHWA KUWA AWAAMBIE WAKEZE NA WANAWAKE WOTE WATEREMSHE SHUNGI ZAO HADI KIFUANI SASA HILI...
29 sembuli_ali Offline Send Email Oct 9, 2005
8:16 am
NAOMBA UFAFANUZI JUU YA SWALA LA KUPIGA MSWAKI NA DAWA YA MENO WAKATI WA SWAUMU...
30 uislamu Offline Send Email Oct 9, 2005
9:01 am
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Nikabu lina tofauti baina ya wanazuoni, kuna wanaoona ni Lazima, na kuna wanaoona si lazima. Kwani Mwenyezi Mungu anasema...
31 uislamu Offline Send Email Oct 9, 2005
9:03 am
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Kupiga mswaki inaruhusiwa kabla ya wakati wa adhuhuri kwenye swaumu. Sababu ya kukataza kutumia dawa, ni kwamba hizi dawa zina...
32 sembuli_ali Offline Send Email Oct 13, 2005
5:41 am
Salam Alaikum niupi msimamo wa kisheria kuhusu uradi unaosomwa baada ya kila rakaa nne za salah ya tarawih je ni sahihi ama sio sahihi?...
33 makame_b_mzungu
makame_b_mzungu@... Send Email
Oct 13, 2005
5:41 am
Asalaam alaykum!! Kuna miandamo mingapi ya mwezi katika ulimwengu? naomba na ushahidi wa quran katika hadith za MTUME(S.A.W)....
34 Jasmin Awadh
jasminawadh Offline Send Email
Oct 13, 2005
11:53 am
Asalam Aleykhum, Hivi ni upi ukweli kuhusu swala ya tarawehe, wengine wanasema ukianza kuiswali basi hutakiwi kuacha wala kupumzika, mfano ukaswali leo kesho...
35 RAJABU RASHID NMOBAH
mobah1980 Offline Send Email
Oct 15, 2005
12:52 pm
Walaikum Salaam! Ni kweli hata na mimi nilikua na swali hilo hilo.Ila wengi ndio wanasema kwamba kuswali taraweh nisunna na waweza kuswali leo kesho...
36 uislamu Offline Send Email Oct 15, 2005
12:58 pm
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Swala ya taraweh ni sunna na inaswaliwa mwezi wa Ramadhani peke yake, Unaweza kuswali leo na kesho usiiswali kwani ni sunna,...
37 uislamu Offline Send Email Oct 15, 2005
1:05 pm
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Kwa hakika wakati wa masahaba, waliokuwa Makkah walikuwa wakitufu baina ya swala, na watu wa madina wakawa wanaongeza urefu wa...
38 sembuli_ali Offline Send Email Oct 17, 2005
9:59 am
SALAM ALEYKUM NDUGU KATIKA IMANI NAOMBA UFAFANUZI WA SWALA LA KUMKATIZA SWALA MUUMINI MWENZAKO ANAYE SWALI KWANI NIMEONA KATIKA MSIKITI WA MTUME MADINA KWA...
Messages 8 - 38 of 173   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Add to My Yahoo!      XML What's This?

Copyright © 2010 Yahoo! Inc. All rights reserved.
Privacy Policy - Terms of Service - Guidelines NEW - Help