zote ni sahihi inabidi ufunge kwa kuona mwezi na kufungua kwa kuona mwezi ... __________________________________ Yahoo! Mail - PC Magazine Editors' Choice 2005...
Assalam alykum sio kweli kabisa kwamba swala ya al ishai ukiswali umechelewa unapata ujira mkubwa hata hivyo duniani kota akuna msikiti amboa unafanya hivyo ...
Wahleykum salaam kuhusu kchanganya swala kumeruhusiwa kwa mtu ambaye yuko safarini tu na si vinginevyo kama una shughuli una fanya ukifika muda wa swala lazima...
54
mamyanic
mamyanic@...
Nov 3, 2005 10:23 am
Assalam alaikum warahmatu LAHI wa barakatu mimi nafanya kazi na kazini haturuhusiwi kuacha kazi isipokuwa wakati wa mapumziko na huyo wakati hakuna sehem...
waaleykum musalaam kuhusu kutoruhusiwa kwenda kusali sababu kazi katika uislam hakuna dharula ni kusahau na kusinzia kuna watu wamefikia hatua ya kuacha kazi...
Aww ! Je ninaposwali peke yangu kuna ulazima wa kuadhini na kukimu swala ? au naweza kunuia tu ? Allah ndiye mjuzi wa kila kitu ! ... Yahoo! FareChase - Search...
unapo swali peke yako kuna ulazima wa kuadhini na kukimu vilevile nia ukaa moyoni akuna haja ya kuitamka ... __________________________________ Yahoo! Mail -...
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakatuh! Kwanza ninakupa pole kwa kuwa katika mazingira kama hayo. Ila lengo la maisha ya mwanadamu hapa ulimwenguni ni...
Assalamu alaykum! unaposwali peke yako hakuna ulazima wa kuadhini kwani kuadhini ni kuita watu ili waje kuswali swala ya jamaa. Hivyo utalazimika ukakimu tu...
SWALI: Je, mwili wa mwanamke wakati wa kipindi cha hedhi huhesabika kuwa najisi? JIBU: Hapana mahala po pote katika sheria ya Kiislamu panapo hukumu mwanamke...
62
ahmadbedros
ahmadbedros@...
Jan 14, 2006 7:27 am
Ass Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nimebahatika kufuata sunna ya bwana M tume (s.a.w)ya kuoa lakini sijui maana ya ndoa hasa na pia sijui sunna za...
bwana Ahmad, Assalaam Alaikum, kwanza nakupongeza sana kwa kitendo cha kishujaa ulichokifanya, kwa kweli kwa kijana kama wewe kufanya jambo kama hilo ...
assalam alaykum warahmatullahi taala wabarakatuh Kuhusu swali lako dada yangu ndoa yako haina tatizo kwani babu yako kuwa hana ndoa na bibi yako hilo ni tatizo...
65
kewos1
kewos1@...
Feb 1, 2006 9:56 am
Assalam alleikum, Mimi naishi peke yangu baada kuachana na mke wangu ambaye nilikuwa kwenye ndoa naye kwa miaka 20. Huyu mama alibadilisha dini na kuwa ...
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Pole sana kwa msiba ulioupata. Pengine ingekuwa vizuri sababu ya kuachana, na pia kujua ulimwacha talaka ngapi. Kuhusu suala la...
67
kewos1
kewos1@...
Feb 5, 2006 3:12 pm
... kubwa za kuachana na huyu bibie kwa kweli mimi sizijui, ila tu siku ya siku aliniomba nimuache na nilipomuuliza sababu basi nilipewa sababu toka hata...
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Ndugu Waislamu, Ramadhani imetukabili kwa kila kheri, ikitupa ishara tuache maasi na tujikurubishe kwa Mwenyezi Mungu, na pia...
Kwajina la Mwenyeezimungu Mwenye Kuneemesha Neema Kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha Neema ndogo ndogo. WAALLAYKUM SALAM WARAHMATULLAH WABARAKATU Ndugu Uislam -...
Waaleykumus-salaam warahamatullah, Shukurani za dhati kwa Allah, kwa kutuwezesha kufika kumi la pili la Ramadhani, na kuwa na mtandao wetu wa habari na...
Assalaam Aleykum Warahmatullah, Website hii ya uislamu.org si kazi ya mtu mmoja wala si sawa kuinasibisha kwa mtu, watu wamejitolea kwa hali na mali...
Note: forwarded message attached. ... Check out the New Yahoo! Mail - Fire up a more powerful email and get things done faster. Note: forwarded message...
Note: forwarded message attached. ... Access over 1 million songs - Yahoo! Music Unlimited. Note: forwarded message attached. Access over 1 million songs -...